Wednesday, November 21, 2007

Hafla ya Kutunisha Mfuko wa TPN

Mgeni Rasmi Mzalendo Samueli Sitta, Spika wa Bunge na
Mlezi wa TPN Mzalendo Dr. Maua Daftari, wakifuatilia hafla
Mzalendo Edwin Francis, Managing - Command,
akitoa shukrani baada ya kupokea tuzo\

Mzalendo Mh. Samuel Sitta, Spika wa Bunge akitoa nasaha
Mzalendo Edwini Francis Mkurugenzi Mwamulishaji wa Kampuni ya
Fulltime Security Services akipokea tuzo kutoka kwa Mzalendo Spika


Viongozi wa TPN wakijadiliana jambo


Mtandao wa Wanataaluma na Wasomi Tanzania (Tanzania Professionals Network – TPN), ulifanya Hafla ya Kutunisha Mfuko wa Ujasiliamali na Uwezeshaji wa Kiuchumi. Hafla hiyo ilifanyika, Jumapili Tarehe 18 Novemba 2007, Viwanja vya Karimjee, Kuanzia saa 10.00 Jioni. Mh. Samuel Sitta, Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano alikuwa Mgeni Rasmi.

Katika Hafla hiyo TPN iliandikisha wanachama wapya. Pia katika hafla hiyo TPN iliwatambua na Kuwatunukia makampuni mawili ya Wanataaluma Wajasiliamali na Mwanataaluma mmoja Mwajiriwa ambao wamekuwa ni mfano wa kuigwa kwa Wanataaluma wengine.

Emec Engineering Limited (www.emec.co.tz) na Fulltime Security Services Limited (www.fulltimesecurity.net) walitunukiwa vyeti na tuzo ta Wajasiliamali Wanataaluma Waliofanya vizuri. Walianzisha kampuni zao miaka michache iliyopita bila mitaji wala mjomba au benki ya kuwasaidia fedha. Walianza kwa taabu sana. Lakini kwa Ujasiliamali wao waliweza kuonyesha bidii kubwa na leo Makampuni yao ni mmoja ya Makampuni Makubwa Sana yanayoheshimiwa kiasi cha kuwa tishio kwa makampuni makongwe nay a kigeni.

Pia Mkurugenzi Mwendeshaji wa the Foundation Society Mr. John Ulanga alitunukiwa cheti na tuzo ya kuwa Mwanataaluma bora wa kuigwa katika utendaji wa kazi. Akiwa kiongozi, amefanikiwa kuendesha organization ambayo imeshatoa misaada katika miradi zaidi ya 700 toka mwaka 2003 yenye thamani zaidi ya TZS Billion 18. Amekataa katakata kufanya kazi kwa mtindo wa kutokuwa Muadilifu. Ilibidi kipindi Fulani asimamishwe kazi kwa tabia yake ya uadilifu wa kupita kiasi. Hata hivyo baada ya ukweli wa fitina kujulikana ilibidi bodi yote ijiuzulu na kumfanya Mwanataaluma John Ulanga kuanza kupanga safu mpya ya maafisa wake baada ya wababaishaji kutimuliwa. (www.thefoundation-tz.org).

Big up Wanataaluma mliopata tuzo. Kazeni Buti (Kwa msemo wa vijana wetu wa mjini)

Katika hafla hiyo iliyohusisha viongozi wa taasisi mbalimbali, wizara, wanataaluma, wafanyabiashara na wanataaluma wengi, Takribani Million 30 Zilipatikana ikiwa ni ahadi na makusanyo.

Baadhi ya matukio yaliyovutia ilikuwa ni mnada wa vitu mbalimbali. Katika baadhi ya vitu:
· Picha ya Raisi Kikwete ilinunuliwa kwa Shs Million 1
· Picha ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere Shs 1 Million
· Picha ya Spika TZS Laki 3
· Pen ya Spika (Gold Plated) ambayo aliitumia kusaini Wakati akiapishwa kuwa Spika TZS 1.5 Million
· Na Tai ambayo Spika aliivua na kuitoa kwa Mnada TZS Laki 5.

Kwa habari zaidi, tembelea tovuti ya TPN: www.tpn.co.tz; NB: Registration kupitia tovuti ya TPN bado haifanyi kazi

Blog: www.tpn-tz.blogspot.com; Kujiunga na TPN, tuma barua pepe register@tpn.co.tz

Kujiandikisha uanachama ni TZS 100,000.00 na Ada ya Kila Mwezi ji TZS 20,000.00. Tuma maombi na utaletewa fomu maalumu ya kujiunga rasmi. Kila mwanachama hai kwa sasa lazima ajiandikishe na kulipia ada.

Be Prepared for the true Mentorship and Inspirational Seminar – No blabla, no politics. This is Special for New Year
Date: Thursday 10th January 2008
Dinner will be served.
Details will be provided later.

Monday, November 12, 2007

Entrpreneurship in Wete Pemba






Poverty Eradication, Entrepreneurship and Economic Empowerment Division (Sub-Committee) in Discussion






Few days before AGM. Press Conference.




Working Luncheon with Minister Mramba.





TPN General Assembly on 29th July 2007

Chief Guest: Hon. Juma Ngasongwa
Minister for Economy, Planning and Empowerment,

Dr. Vera Ngowi from Arusha. Research Scientist.

Now Executive Committee Member


Ms Janet Mbene - Working in Zimbabwe Now.

Chaiperson Kenya Commercial Bank

Business Consultant and Member of Executive Committee


A Delegate stressing a point in AGM


Hamza Kondo, President of TAJA and Rachel Mwalukasa,

Senior Area Manager, Barclays Bank Tanzania.

Sunday, November 11, 2007

Who are these TPN Members?






Can you name these TPN Members?






Some of TPN Members - Can u recognize them?



TPN Executive Committee Leaders


TPN Leaders were elected at the General Assembly held at NSSF Water Front on 29th July 2007 to lead the Network for 3 years.

Seated from left are:

a) Method Bakuza – Secretary General (B.Com); Director; Mayo 1999 Co. Ltd
b) Sanctus Mtsimbe – President (B.Sc; M.Sc.); Business Development Manager; SimbaNET
c) Ms. Consolata Maimu – Treasurer ((Adv. Dip; Post Grad. Dip; MBA); System Auditor; TASAF
d) Ms. Janet Mbene – Member of Executive Committee (Adv. Dip; BA; MA); Director & Lead Consultant; SME in Action; DSM

Standing from left are:

e) Hamza Kondo – Member of the Executive Committee (2 Diplomas; Post Graduate Diploma); President; Tanzania Journalists Association, MD Sena News Agent
f) Ms. Rachel Mwalukasa – Member of the Executive Committee (B.Com); Senior Retail Manager; Barclays Bank; DSM
g) Ms. Aiwerasia Ngowi – Member of the Executive Committee (B.Sc; M.Sc; PhD); Senior Principal Research Scientist; Tropical Pesticides Research Institute; Arusha
h) Jackson Mayunga – Member of the Executive Committee (B.Sc; Post Graduate Diploma); Head of ICT; Stanbic Bank

Others not in the main pictures are:

i) Dr. Donald Olomi - Member of the Executive Committee (Bachelor of Commerce (Honours), an MBA and a PhD in business administration from Tanzania, Canada and Sweden respectively.); Senior Lecturer and Director of the University of Dar es Salaam Entrepreneurship Centre (UDEC).
j) Hon. Dr. Batlida Burhani - Member of the Executive Committee (B.A (Public Admin. & International Relations, M.A (Development Studies), PhD (Planning Studies). She is a Member of Parliament and Minister of State, Prime Ministers Office.